Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mkuu wa shule, wanafunzi 79 watekwa nyara
Kimataifa

Mkuu wa shule, wanafunzi 79 watekwa nyara

Mji wa Bamenda nchini Cameroon
Spread the love

MKUU wa shule pamoja na wanafunzi wa kiume 79 wametekwa nyara na makundi ya waasi katika jiji la Bamenda nchini Cameroon. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tukio hilo limetokea asubuhi ya leo tarehe 6 Novemba 2018, ambapo taarifa za awali zinadai kuwa, wahusika wa utekaji huo ni makundi ya wanamgambo wanaotaka kujitenga na nchi hiyo, hususan kwenye majimbo yanayotumia lugha ya kingereza.

Kwa mujibu wa video inayosambaa katika mitandao ya kijamii, inaonyesha wanafunzi hao wakirundikwa kwenye chumba kimoja bada ya kutekwa nyara, huku waasi wakiwaamuru kutaja majina yao.

Gavana wa jimbo la Kaskazini Magharibi, Adolphe Lele L’Afrique amevishutumu vikundi hivyo vya uasi, wakati serikali ikisema kwamba vyombo vya dola vinaendesha operesheni ya kuwakomboa mateka hao.

Chanzo: BBC Swahili

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!