Tuesday , 23 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma
Habari Mchanganyiko

Mkapa kushuhudia Jubilei ya Mapadri Dodoma

Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Spread the love

RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa anatarajia kuungana na Mapadri  pamoja na Maaskofu katika kusherea Jubilei ya miaka 100 ya upadri kwenye kituo cha Hija kilichopo eneo la Mbwanga kata ya Miyuji mjini Dodoma, anaandika Dany Tibason.

Sherehe hizo zinatarajia kushirikisha zaidi ya Mapadri na Maaskofu  520 na kuongozwa na Rais wa Mashirika ya Kipapa nchini Vatican, Mhashamu Askofu Protas Rugambwa ambaye anamuakilisha Papa Benedict 16.

Katika ibada hiyo, Askofu Kiongozi wa Jimbo Katholiki Kigoma, Joseph Mlola, amewaasa waumini wa kanisa hilo nchini kuwaombea Mapadri na Maaskofu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari Mchanganyiko

DC ampongeza Dk. Rose Rwakatare kwa kusaidia waathirika wa mafuriko Mlimba

Spread the loveMWENYEKITI wa Wazazi CCM Mkoa wa Morogoro, Dk.  Rose Rwakatare...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!