Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Milioni 7 wapona corona duniani
Habari Mchanganyiko

Milioni 7 wapona corona duniani

Spread the love

WAGONJWA milioni 7.58 waliokuwa wameambukizwa virusi vya corona (COVID-19) duniani wamepona. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Kwa mujibu wa mtandao wa Worldometer, hadi kufikia leo asubuhi Jumatatu tarehe 13 Julai 2020, wagonjwa milioni 13.03 wameambukizwa corona duniani. Kati ya wagonjwa hao, waliofariki dunia ni 571,659.

Marekani imeendelea kuongoza kwa kuwa na maambukizo milioni 3.41, waliopona milioni 1.5 na waliofariki dunia 137,782.

China ambako corona ilianzia mwishoni mwa mwaka 2019, ina maambukizo 83,602 kati ya hayo, waliopona ni 78,648 na waliofariki dunia wakiwa 46,34.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!