Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi
Habari za Siasa

Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi

Hashim Rungwe, Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma)
Spread the love

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hashim Rungwe ametupia lawama Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwamba limemuonea kwa kumkamata usiku, anaandika Faki Sosi.

Rungwe ambaye pia Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma) amesema hana kosa lolote lakini alikamatwa na Polisi na kuwekwa ndani kwa siku kadhaa.

Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa, polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam hawakumtendea haki kutokana na kumkamata usiku nyumbani kwake ilhali aliwapa vielelezo vyote kuhusu kusaini kwa mkataba wa biashara kati ya mfanyabiashara wa Uturuki na Tanzania.

Rungwe amekiri kuhusika na mkataba huo kutoka kwa wateja wake kwa kufuata sheria na kwamba alimpelekea pesa hizo mfanyabiashara wa kitanzania ili atimize makubaliono na mfanyabiasha wa uturuki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!