HAMISI Taletale maarufu Babu Tale ameshinda kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Morogoro Kusini Mashariki kwa kupata kura 318 dhidi ya mbunge anayemaliza muda wake ambaye ni Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba aliyepata kura 242. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea).
Babu Tale ni Maneja wa Msanii wa mziki nchini Tanzania, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinum.
Leave a comment