Tuesday , 19 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria
Habari MchanganyikoTangulizi

Meli ya MV Nyerere yazama Ziwa Victoria

Spread the love

KIVUKO cha MV. Nyerere kinachotoa huduma kati ya Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe mkoa wa Mwanza kimezama mchana wa leo tarehe 20 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa kwa vyombo vya habari na Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA).

Akizungumzia kuhusu tukuio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shana amesema baadhi ya wau waliokuwamo katika kivuko hicho kilichokuwa kinatoka Bugorora kisiwani Ukerewe kuelekea Kisiwa cha Ukara, wameanza kuokolewa.

Kamanda Shana amesema shughuli za uokoaji wahanga zinaendelea kutekelezwa na Kamati ya Ulinzi na usalama mkoa wa Mwanza.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoKimataifa

Shule zafungwa kutokana na ongezeko la joto

Spread the loveSUDAN Kusini imeamuru kufungwa kwa shule zote kuanzia leo Jumatatu,...

Habari Mchanganyiko

Bunge laja na Marathon kuchangia ujenzi wa sekondari

Spread the loveBUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linatarajia kukusanya fedha...

Habari Mchanganyiko

Serikali, wadau watakiwa kulinda viumbehai

Spread the loveSERIKALI, wadau kutoka sekta binasi, vyombo vya habari na jamii...

Habari Mchanganyiko

Askari wanyamapori 150 kuongeza ufanisi utatuzi migogoro ya kiuhifadhi

Spread the love  WIZARA ya Maliasili na Utalii inamatarajio makubwa ya kuimarika...

error: Content is protected !!