Wednesday , 24 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mchungaji kiongozi KKKT mbaroni
Habari Mchanganyiko

Mchungaji kiongozi KKKT mbaroni

Spread the love

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Manyara, inamshikilia Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Ufana, Emanuel Petro Guse kwa kuendesha mikopo umiza bila ya leseni ya biashara ya ukopeshaji fedha. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Taarifa ya Mkuu wa Takukuru, Mkoa wa Manyara, Holle Makungu aliyoitoa leo Ijumaa tarehe 28 Agosti 2020 imesema, wanaendelea kumshikilia kwa uchunguzi zaidi wa mikataba umiza 48 iliyokutwa nyumbani kwake wakati wa upekuzi.

Taarifa yote ya suala hilo hii hapa;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Bodaboda waeleza mafanikio mafunzo usalama barabarani

Spread the loveMADEREVA bodaboda katika Jiji la Dodoma wameeleza jinsi mafunzo ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaahidi kuendelea kuunga mkono Serikali za Mitaa

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya...

Habari Mchanganyiko

Watuhumiwa 12 wa kilo 726.2 za dawa za kulevya wafikishwa mahakamani

Spread the love  WATUHUMIWA watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kibaha Mkoani...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!