Tuesday , 19 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mchanga wa madini waondoka na Prof. Muhongo
Habari za Siasa

Mchanga wa madini waondoka na Prof. Muhongo

John Magufuli, Rais wa Tanzania (kushoto) akiwa na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo
Spread the love

RAIS Rais John Magufuli ameanza kutekeleza ushauri aliopewa katika ripoti ya Kamati ya kuchunguza makontena ya mchanga wa madini yaliyokamatwa kwa kumtengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, anaandika Hamisi Mguta.

Wakati Rais Magufuli anapokea ripoti hiyo Ikulu alimtaka Profesa Muhongo ajitathmini kuhusu nafasi yake ya uwaziri baada ya kupokea ripoti ya mchanga wa madini Ikulu kutokana na kushindwa kusimamia vyombo vilivyochini yake.

Hata hivyo, kabla ya Profesa Muhongo kutoa kauli yoyote Rais ametengua uteuzi wake kuanzia leo. Nafasi ya Profesa Muhongo itajazwa baadae.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Zanzibar mbioni kuanza uchimbaji mafuta na gesi baharini

Spread the loveSERIKALI ya Zanzibar, imekamilisha mchakato wa uchimbaji wa mafuta na...

Habari za Siasa

Wizara ya afya yataja mafanikio 10 miaka mitatu Samia madarakani

Spread the loveWIZARA ya Afya imetaja mafanikio 10 iliyoyapata ndani ya miaka...

Habari za Siasa

Mbozi walilia kuwa manispaa, majimbo 3

Spread the loveHALMASHAURI ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe imeeleza dhamira yake...

Habari za Siasa

Wabunge waitaka TPDC kuongeza kasi ya kuunganisha wateja gesi asilia

Spread the love  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini...

error: Content is protected !!