Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge mwingine Chadema aachia ngazi
Habari za SiasaTangulizi

Mbunge mwingine Chadema aachia ngazi

Spread the love

ALIYEKUWA mbunge wa Simanjiro (CHADEMA), James Millya, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika barua yake kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, Millya anasema, ameamua kuchukua uamuzi huo kufuatia kuona giza nene kwa chama alichokuwa.

Anasema, kabla ya kujiunga na Chadema alikuwa mwanachama wa CCM. Anasema, aliondoka CCM kwa kuwa alikiona siyo chama chenye kutetea maslahi ya wengi.

“Nilikuwa Chadema, lakini sasa nimeona kuwa haina mpango wa kutetea kile ninachokiamini,” ameeleza Millya.

IMG-20181007-WA0043

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!