Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mbunge Bwege atangaza kutimkia ACT-Wazalendo
Habari za Siasa

Mbunge Bwege atangaza kutimkia ACT-Wazalendo

Suleiman Bungara 'Bwege', aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF)
Spread the love

SELEMAN Bungara maarufu ‘Bwege,’ Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama cha Wananchi (CUF) amesema, kuanzia kesho Jumanne Juni 16 2020 baada ya Bunge kuhitimishwa, atajiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea).

Bwege ameweka wazi dhamira hiyo leo Jumatatu tarehe 15 Juni 2020, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Amesema, amefanya uamuzi huo kutokana na kuona Chama cha Wananchi (CUF) hakina, muafaka  kwenye siasa za mabailiko.

Bwege amesema, haiendi ACT-Wazalendo kwa kumfuata Maalim Seif Sharif Hamad amekwenda kwa kuwa chama hicho ni kipya, “kambare mkunje angali mbichi” ACT tunaweza kuikunja.”

Maalim Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CUF, alitimkia ACT-Wazalendo baadhi ya viongozi na wanachama baada ya kutokea kwa mgogoro wa uongozi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!