Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC
KimataifaTangulizi

Mbunge aliyefyatua risasi bungeni apelekwa ICC

Spread the love

MBUNGE Alfred Yekatom maarufu kama Rambo, aliyekamatwa na vyombo vya dola baada ya kufyatua risasi bungeni nchini Afrika ya Kati (CAR) amefikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Rambo amekuwa mtu wa kwanza kutoka CAR kupelekwa ICC akikabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu, ikiwemo kuhusika kwenye mauaji, kuteswa watu, kuwashambulia raia na kuwaingiza watoto kwenye shughuli za kijeshi.

Mtuhumiwa huyo anadaiwa kufanya uhalifu huo mwaka 2013 hadi 2014 kwa kuongoza kundi la wapiganaji la waumini wa kikikristo Anti-Balaka, baada ya kundi la waislamu la Seleka kuipindua serikali mwaka huo.

Rambo mnamo mwaka 2016 alichaguliwa kuwa mbunge licha ya kuwkewa vikwazo na Umoja wa Mataifa (UN).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

error: Content is protected !!