Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Mbao FC waitoa nishai Gor Mahia
Michezo

Mbao FC waitoa nishai Gor Mahia

Spread the love

KLABU ya Mbao FC imefanikiwa kuiondoa timu ya FC Gor Mahia kutoka Kenya kwenye michuano ya kombe la Sport Pesa kwa njia ya mikwaji ya penalti 4-3 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo hivyo nakufanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Gor Mahia ambao walikuwa mabingwa watetezi wa michuano hiyo kwa miaka miwili mfululizo ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Oriech dakika ya  56, na baadae Mbao wakafanikiwa kusawazisha dakika ya 76 kupitia Aboubakar Ngalema.

Baada ya ushindi huo Mbao FC  itakutana na Kariobang Sharks kutoka Kenya katika mchezo wa nusu fainali siku ya Ijumaa.

Ikumbukwe bingwa wa michuano hiyo atapata zawadi ya kombe na kiasi cha fedha Sh. 30 milioni sambamba na kucheza mechi na klabu ya Evarton FC inayoshiliki Ligi Kuu nchini England mwezi Julai mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!