Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka
ElimuTangulizi

Matokeo darasa la saba yatangazwa, ufaulu waongezeka

Spread the love

WATAHINIWA 733,103 kati ya 943,318 wamefaulu mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi wa mwaka 2018. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akitangaza matokeo hayo leo tarehe 23 Oktoba 2018 jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde  amesema  ufaulu huo ni ongezeko la asilimia 4.96 kutoka asimilia 72.76 kwa mwaka jana hadi kufikia 77.725 mwaka 2018.

Dk. Msonde amesema takwimu zinaonyesha kuwa ufaulu katika masomo ya Maarifa ya Jamii, Kiingereza, Sayansi na Hisabati umepanda kwa asilimia kati ya 4.03 na 11.92 wakati somo la Kiswahili ukishuka kwa asilimia 1.44 ikilinganishwa na ufaulu ulivyokuwa mwaka 2017.

Katika hatua nyingine, Dk. Msonde amesema kati ya wanafunzi waliofaulu mtihani huo, wasichana walikuwa 383,830 idadi ambayo ni sawa na asilimia 77.12 na wavulana 350,273 (78.38)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

ElimuHabari za Siasa

MbungeCCM ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the love  MBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!