Wednesday , 24 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Marekani yaonyesha uoga kwa Korea Kaskazini
Kimataifa

Marekani yaonyesha uoga kwa Korea Kaskazini

Spread the love

MAREKANI imeapa kujibu shambulio lolote la kijeshi kutoka Korea Kaskazini dhidi ya nchi hiyo ama washirika wake, anaandika Irene David.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis, wakati akizungumza na Rais Donald Trump, katika mkutano wa kuzungumzia masuala ya ulinzi katika taifa hilo kufuatia jaribio la bomu la Nyuklia huko Pyongyang lililofanywa na Korea Kaskazini.

Trump ameonya kuwa Marekani inaweza kusimamisha kufanya biashara na nchi yoyote inayoshirikiana kibiashara na Korea Kaskazini.

Amesema kuwa haamini kama Korea Kaskazini inaweza kuishambulia Marekani na itafanya jitihada zozote ili kuweza kuondoa mzozo huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!