Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Michezo Man City, Arsenal dimbani Kesho, EPL kurejea
Michezo

Man City, Arsenal dimbani Kesho, EPL kurejea

Spread the love

BAADA ya kusimama kwa takriban miezi mitatu, hatimaye Ligi Kuu nchini England kurejea kesho kwa michezo miwili ambapo klabu ya Manchester City itaikalibisha Arsenal kwenye uwanja wa Etihad. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Mchezo huo ambao ulikuwa wa kiporo wa mzunguko wa pili utazikutanisha klabu hizo ambazo zina historia kubwa kesho soka la England ambapo mchezo wa mwisho Arsenal alipoteza kwa mabao 3-0, kwenye uwanja wa Emirates.

Ligi hiyo ambayo imebakiza michezo tisa kumalizika inarejea baada ya mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 uliosababisha kusimamishwa na chama cha soka nchini humo (FA) huku klabu ya Liverpool ikiwa kinara kwenye msimamo baada ya kujikusanyia pointi 82.

Mchezo mwingine siku ya kesho utaikutanisha klabu ya Astorn Villa anayochezea mtanzania Mbwana Samatta dhidi ya Sheffield United na siku ya Ijumaa, Manchester United itashuka dimbani kuikabili Tottenham, Norwich city dhidi ya Southampton.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!