Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mama mzazi wa DC Jerry Muro afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mama mzazi wa DC Jerry Muro afariki dunia

Spread the love

ANKUNDA Muro, mama mzazi wa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Arumeru jijini Arusha, Jerry Muro amefariki dunia jana Jumapili tarehe 24 Januari 2021, katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Muro amesema, mipango ya mazishi inafanywa nyumbani Ubungo Dar es Salaam na Machame Lyamungo kati Hai, mkoani Kilimanjaro.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI Online, MwanaHALISI TV na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!