Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Mama Kikwete afariki dunia
Habari Mchanganyiko

Mama Kikwete afariki dunia

Nuru Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

NURU Khalfan Kikwete, mama mlezi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefariki dunia mapema hii leo, anaandika Pendo Omary.

Bi. Nuru amefariki mapema leo asubuhi katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akisumbuliwa na maradhi yanayohusiana na uzee.

Taarifa ya kufariki kwa mlezi huyo wa Dk. Kikwete imetolewa na Ridhiwani Kikwete, Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambye pia ni mtoto mkubwa wa rais huyo mstaafu.

Ridhiwani ameandika katika ukurasa wake wa Facebook na Twitter , “Tanzia ndugu na marafiki. Nasikitika kuwatangazia msiba/kifo cha bibi yetu Bi. Nuru Khalfan.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!