Wednesday , 17 April 2024
Home Kitengo Michezo Makapu afiwa na mama yake mzazi, aachwa Dar
Michezo

Makapu afiwa na mama yake mzazi, aachwa Dar

Said Juma Makapu, kiungo wa Yanga
Spread the love

SAID Juma Makapu amefiwa na mama yake mzazi nyumbani kwao Zanzibar, hivyo kusababishwa kuondolewa katika orodha ya wachezaji wa Yanga wanaosafiri kuelekea nchini Rwanda katika mchezo wao dhidi ya Rayon Sports utakaochezwa Jumatano ya tarehe 28, 2018 wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Anaripoti Halidi Mhina … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu ya Yanga imeeleza kuwa msiba huo umetokea jana na mazishi yanatarajiwa kufanyik leo saa 7 mchana, nyumbani kwao Zanzibar.

Klabu ya Yanga imempa mapumziko Makapu kwenda kushuhurikia taratibu za kumpuzisha mama yake mzazi na baadae atarejea kujiunga na kikosi cha chake katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Yanga inashika mkia katika kundi D, ikiwa na pointi nne tu, nyuma ya Rayon yenye pointi sita, wakati Gor Mahia na USM Alger kila moja ina pointi nane na zinamenyana kwenye mechi ya mwisho Jumatano pia mjini Algiers.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!