Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa
ElimuHabari za Siasa

Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Spread the love

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Orodha ya majina hayo imetolewa na Abdul-Razaq Badru ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa bodi, na kwamba idadi ya waombaji ilikuwa wanafunzi 45, 000.

Akitoa ufafanuzi Badru amesema, idadi hiyo ya waliopata mikopo ni ya awamu ya kwanza, mkopo ambapo jumla ya Sh. 113 Bil zitatumika kwa mikopo hiyo.

Amesema, majina ama orodha ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa awamu ya pili, itatangazwa tarehe 25 Oktoba 2019.

Kupata majina ya wanafunzi walipopata mkopo kwa mwaka 2019/20 ingia hapa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!