Saturday , 20 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Mahujaji wa DRC wazuiwa kuingia Makka kisa Ebola
Kimataifa

Mahujaji wa DRC wazuiwa kuingia Makka kisa Ebola

Spread the love

NCHI ya Saudi Arabia imegoma kutoa hati ya kusafiria ‘Viza’ kwa mahujaji kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikihofia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea).

Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO) kutangaza kwamba nchi ya DRC ina mlipuko wa Ebola.

Wizara hiyo imesema hatua hiyo ya kuzuia watu kutoka DRC kuhiji Makka ni kulinda usalama wa mahujaji kutoka katika mataifa mengine.

Imamu Djuma Twaha, Kiongozi wa Waislamu nchini DRC amesema watu 410 nchini humo walipanga kwenda kuhiji mjini Makka mwezi huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!