Tuesday , 19 March 2024
Home Kitengo Michezo Mahakamani yamtia hatiani Lulu
MichezoTangulizi

Mahakamani yamtia hatiani Lulu

Elizabeth Michael 'Lulu' akiwa mahakamani
Spread the love

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam imetia hatiani Msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ katika kesi ya kuua bila kukusidia dhidi ya msanii mwenzake, Steven Kanumba, anaandika Faki Sosi.

Hukumu iliyosomwa na Jaji Sam Rumanyika imemtia hatiani Lulu kuwa alimuua msani mwenzake, Marehemu Kanumba bila kukusudfia kutokana na ushahidi uliotolewa na pande hizo mbili.

Upande wa utetezi unaiomba mahakama kumpunguzia adhabu mteja wao, endelea kubaki na MwanaHALISI Online kukujuza zaidi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

CDF Mabeyo: Magufuli alijua anakufa

Spread the love  ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo,...

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

Spread the loveSERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa...

error: Content is protected !!