Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Mahakama yagoma kuitwa idara
Habari Mchanganyiko

Mahakama yagoma kuitwa idara

Spread the love

MAHAKAMA ya Tanzania, imepiga marufuku kuitwa idira na kwamba ni mhimili pekee unaojitegemea. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Onyo hilo limetumwa leo tarehe 30 Julai 2019, kwa vyombo ya habari na Nurdin Ndimbe, Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania.

Ndimbe amesema, wanahabari wamekuwa wakitumia neno idara kwenye taarifa zao jambo ambalo si sahihi.

“Kwa barua hii, tunaomba kuanzia sasa katika taarifa zenu msitaje tena mahakama kama idara bali itambulike kama Mahakama ya Tanzania kama ilivyo Bunge la Tanzania,” amesema Ndimbe.

Amesema, kwa mujibu wa fungu la 107 A(1) na 107 (B) la Katiba wa Jamhuri ya Tanzania,  Mahakama ni mhimuli  wa dola kama ilivyo Bunge na Serikali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

error: Content is protected !!