Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata
Michezo

Madrid ‘yaikazia’ Man U kwa Morata

Alvaro Morata
Spread the love

REAL Madrid, mabingwa wa soka nchini Hispania na barani Ulaya, wameendelea kushikilia msimamo wao kutotaka kumuuza mshambuliaji wao Alvero Morata kwa kiasi cha fedha kilicho chini ya Pauni 80 milioni, anaandika Shafiyu A. Kyagulani.

Man United ya England inamuhitaji Morata ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mshambuliaji raia wa Sweeden Zlatan Ibrahimovich ambaye kandarasi yake imefikia ukomo.

Man U ilitenga kiasi cha Pauni 52 milioni, kama dau la kumnasa mhispanmi ahuyo, hata hivyo Madrid wanendelea kukaza kamba wakisema, thamani ya mshambuliaji huyo ni pauni 80 milioni.

Mtendaji mkuu wa Man U, yupo katika mazungumzo na Madrid ili kuangalia uwezekano wa kumsajili Morata ambaye anaonekana kuhitajika na Kocha mreno Jose Mourinho ili kuiongezea nguvu safu yaye ya ushambuliaji.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!