Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Madini yampaisha Rais John Magufuli
Habari za Siasa

Madini yampaisha Rais John Magufuli

Rais John Magufuli akizungumza
Spread the love

WAJUMBE wa kamati ya kuratibu rasilimali ya madini kwa nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu wamepongeza Rais Dk John Magufuli kwa jitihada anazofanya za kudhibiti uvunaji haramu wa rasilimali hiyo na wamewaomba viongozi wa nchi zingine kuiga mfano huo, anaandika Mwandishi Wetu.

Wakizungumza baada ya kumaliza kikao chao kilichokuwa kinafanyika mjini Arusha, wajumbe hao kutoka nchi 12 za Ukanda wa Maziwa Makuu walishauri jitihada zilizoonyeshwa na Rais John Magufuli zifanyike katika nchi zote za ukanda huo ikiwa ni pamoja na kuhakikisha sheria zote za uchimbaji, uuzaji wa madini zinazingatiwa na nchi husika zinanufaika.

Mratibu wa kikao hicho kutoka sekretarieti ya nchi za ukanda huo, Balozi Zachary Muhuri Muita, alisema uchimbaji wa madini ukifanyika kwa njia halali na wachimbaji wakalipa kodi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

error: Content is protected !!