Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto
Habari za Siasa

Mabalozi watakaoacha kazi na kunywa wine, watakiona cha moto

Spread the love

RAIS John Magufuli amewataka mabalozi wa Tanzania katika nchi za nje ambao hawajatumia vyema madaraka yao katika kuiletea nchi maendeleo, kujiandaa kurudi nyumbani. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Rais Magufuli ameyasema hayo katika hafla ya uapisho wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Damas Ndumbaro iliyofanyika leo tarehe 29 Septemba 2018 Ikulu jijini Dar es Salaam.

Rais Maguguli amewataka mabalozi hao kuwa na desturi ya kuwasilisha ripoti kuhusu kazi walizofanya kwenye vituo vyao vya kazi.

“Mabalozi wa Tanzania walioko nje wawe wanaeleza wamefanya nini na kama hawajafanya kitu wajiandae kurudi,” amesema Rais Magufuli.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

error: Content is protected !!