Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari
Habari za Siasa

Maalim Seif agusa mtima wa Wazanzibari

Spread the love

UHURU wa kiuchumi kwa Wazanzibari kupitia zao la Karafuu, sasa utapatiwa ufumbuzi kwa wakulima kuuza kokote watakapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zamzibar … (endelea).

Ni kauli ya Maalim Seif Sharif Hamad, mgombea urais visiwani Zanzibar kupitia Chama cha ACT-Wazalendo aliyoitoa kwenye mkutano wake wa kampeni katika Kijiji cha Konde, Pemba.

“Tunataka wakulima wetu watangaze, waitangaze Zanzibar katika soko la ulimwengu na wafanyabiashara ya viungo watoke huko waje Zanzibar.”

“Tutawapa mbinu wakulima wetu ili wazalise bidhaa zilizo bora zaidi. Tutakusanya kodi kidogo ili wakulima watate faida kubwa na pia kuendeleza kilimo kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu,” amesema Maalim Seif.

Akielezea hali ya wakulima hao, Maalim Seif ambaye pia ni mwenyekiti wa chama hicho amesema, wakulima hao wanaandamwana na kodi kubwa ya mazao yao huku serikali ikishindwa kuwaandalia mazingira mazuri ili wafanye kilimo chenye tija.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!