Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Maalim Seif aachiwa kwa dhamana 
Habari za Siasa

Maalim Seif aachiwa kwa dhamana 

Spread the love

JESHI la Polisi Zanzibar, limemwachia kwa dhamana, mgombea Urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Maalim Seif ameachiwa leo jioni Jumanne tarehe 27 Oktoba 2020 na kutawakiwa kuripoti Jumatatu ijayo kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi kwa mahojiano zaidi.

Mwanasiasa huyo mkongwe, alikamatwa leo asubuhi katika Kituo cha kupigia kura cha Garagara visiwani humo, alipokwenda kupiga kura ikiwa ni siku ya kwanza ya upigaji kura wa Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge, wawakilishi na Rais utaohitimishwa kesho.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!