Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lugumi ajisalimisha kwa Kangi Lugola
Habari za SiasaTangulizi

Lugumi ajisalimisha kwa Kangi Lugola

Mfanyabiashara Said Lugumi (mwenye tai) akiwasili katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuonana na Waziri, Kangi Lugola
Spread the love

MFANYABIASHARA Said Lugumi ametelekeza agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Kangi Lugola liliomtaka ajisalimishe ofisini kwake mara moja. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa ya Jeshi la Polisi inaeleza kuwa, Lugumi asubuhi ya leo tarehe 31, Julai 2018 amewasili katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa ajili ya kuonana na Waziri Lugola.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, kabla ya polisi kumpeleka Lugumi kwa Waziri Lugola, alipelekwa Makao Makuu ya Polisi Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai.

Waziri Lugola Julai 22, 2018 alimtaka Lugumi ajisalimishe ofisini kwake kabla ya Julai 31 mwaka huu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!