Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lowassa ataja sababu za Kalanga kurudi CCM
Habari za Siasa

Lowassa ataja sababu za Kalanga kurudi CCM

Spread the love

WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa. Edward Lowassa leo amewahutubia wananchi wa Kata ya Migungani Wilayani Monduli katika kufunga Kampeni ya Uchaguzi mdogo wa marudio ya Udiwani. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Lowassa amekanusha vikali tuhuma zilizozagaa kwamba anawatuma watu wake watangulie nayeye atarejea, Pia amesema chanzo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Monduli Julius Kalanga kuunga kile kinachodaiwa ni juhudi sio kweli, “kilichomfanya aondoke ni anadaiwa mkopo,” amesema Lowassa.

Uchaguzi mdogo wa Marudio ya Udiwani utafanyika siku ya Kesho Jumapili Agosti 12, 2018.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

CAG aibua madudu halmashauri 10, TANESCO na MSD

Spread the loveRIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

Habari za Siasa

Alichokisema Rais Samia baada ya kupokea ripoti ya CAG, TAKUKURU

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake itafanyia kazi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

error: Content is protected !!