Tuesday , 23 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu asema Job Ndugai ”amelikoroga”
Habari za SiasaTangulizi

Lissu asema Job Ndugai ”amelikoroga”

Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki
Spread the love

TUNDU Lissu Mbunge wa Sindiga Mashariki amesema kuwa kitendo cha Spika wa Bunge Job Ndugai, kuridhia barua ya Chama cha Wananchi (CUF),kuwafukuza uanachama wabunge wake nane kitamuumbua, anaandika Faki Sosi.

Lissu akizungumza na MwanaHALISI Online Tv amesema kuwa dhamira ya Spika siyo nzuri kwa vyama vya upinzani.

“Mahakama ikitoa hukumu kuwa Professa Ibrahimu Lipumba siyo mwenyekiti wa CUF huku wabunge walioteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakiwa wameishakula kiapo kunaeweza kuleta mgogoro.

Lissu amesema kuwa upinzani hauwatambui wabunge hao wapya kwenye kambi yao na kwamba hawatawapokea.

Tazama hapo Chini Full Video alichokizungumza Tundu Lissu kuhusu sakata hilo.

 

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Spread the loveRais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha ...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

Spread the loveBENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mipango na uwekezaji kutumia bilioni 121.3, mradi wa Bagamoyo wapewa kipaumbele

Spread the loveWIZARA ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, imeliomba Bunge...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mbunge ataka kasi uzalishaji walimu ipunguzwe akidai hakuna ajira

Spread the loveMBUNGE wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi, ameishauri Serikali ipunguze kasi...

error: Content is protected !!