Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lema mikononi mwa polisi Arusha
Habari za Siasa

Lema mikononi mwa polisi Arusha

Spread the love

GODBLESS Lema, Mbunge wa Arusha ametakiwa kufika Polisi Arusha leo tarehe 21 Oktoba 2018 kabla hakujakucha. Anaripoti Mariam Seleman … (endelea).

Mpaka sasa wito wa Lema kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Arusha haujafahamika lengo lake.

Mbunge huyo ameandika kwenye ukurasa wake wa Tweeter kwamba, anaelekea Arusha kutekeleza wito huo.

“Nimepigiwa simu na Polisi kwamba natakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi Arusha leo bila kukosa, sijaelewa sababu lakini wito unaonekana kuwa wa lazima sana, lakini nafikiria kupigania haki hili ndio linaweza kuwa kosa langu kubwa. Msiogope.”

Mpaka sasa hakujawa na taarifa mpya kutokana na wito huo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!