Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Kwanza TV yakata rufaa
Habari Mchanganyiko

Kwanza TV yakata rufaa

Maria Sarungi Tsehai, Mkurugenzi wa Kampuni ya Kwanza Broadcasting Limited
Spread the love

KAMPUNI ya Kwanza, inayoendesha Televisheni ya mtandaoni (Kwanza TV), inatarajia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kufungiwa chaneli yake, kwa muda miezi sita. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 24 Oktoba 2019 na Maria Sarungi, Mkurugenzi wa Kampuni ya Kwanza Broadcasting Limited.

Taarifa ya Sarungi imeeleza kuwa, amedhamiria kupinga hukumu hiyo namba 5 iliyotolewa mwezi Septemba  2019 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) chini ya Kamati yake ya Maudhui.

Maria ameeleza kuwa, rufaa hiyo imekatwa katika Baraza la Rufaa la Tume ya Ushindani Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Soko nepi za watoto lashuka, watu wazima lapaa

Spread the loveKiwanda cha kutengeneza nepi cha Japan kimetangaza kuwa kitaacha kutengeneza...

error: Content is protected !!