Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kubenea: Michango ya MV Nyerere iwafikie waathirika
Habari za Siasa

Kubenea: Michango ya MV Nyerere iwafikie waathirika

Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo
Spread the love

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea, ameitaka serikali ifikishe kwa waathirika michango inayokusanya. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Kubenea ameyasema hayo kwenye mahojiano maalum na MwanaHALISI TV baada ya Serikali kupitia kwa Waziri Jenister Mhagama kutangaza kuwa imefungua akaunti benki kwa ajili ya kupokea michango toka kwa wasamaria wema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!