Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kubenea augua ghafla bungeni
Habari Mchanganyiko

Kubenea augua ghafla bungeni

Spread the love

HALI ya afya ya Mbunge wa jimbo la Ubungo Saed (Chadema) imebadilika ghafla na kulazimika kupewa mapumziko katika Zahanati ya Bunge kwa ajili ya uangalizi.

Kwa mujibu wa Dk. Noel Salomon, aliyempokea mbunge huyo, Kubenea alifika hopsitalini hapo majira ya saa kumi jioni jana na kupumzishwa .

Dk.Solomon amesema alipatiwa kitanda kwa ajili ya mapumziko ili baadaye apatiwe matibabu.

Jana Kubenea alikuwepo bungeni kuanzia majira ya asubuhi na alikuwa ameishafika katika Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge kwa ajili ya mahojiano kama alivyoagiza Spika wa Bunge, Job Ndugai.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!