Tuesday , 19 March 2024
Home Gazeti Makala & Uchambuzi Kubenea ajitosa ubunge Unguja
Makala & Uchambuzi

Kubenea ajitosa ubunge Unguja

Saed Kubenea, Mbunge wa Ubungo, akizungumza na wapiga kura wake
Spread the love

MBUNGE wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, leo Jumapili, ataungana na viongozi

waandamizi wa upinzani nchini, Edward Lowassa na Maalim Seif Sharif Hamad, kumpigia kampeni mgombea ubunge jimbo la Dimani, Unguja, anaandika Mwandishi Wetu.

Akizungumza na MwanaHALISI Online, Kubenea alisema, “ninakwenda Unguja kutafuta mbunge. Nakwenda kuongeza nguvu. Nakwenda Unguja, kushinda.”

Kubenea, mmoja wa wabunge machachari wa upinzani nchini anasema, ameamua kwenda Unguja ili kusaidia harakati za ukombozi kwa kuhakikisha Chama cha Wananchi (CUF), kinashinda katika uchaguzi huo.

Uchaguzi mdogo wa Dimani Unguja, unafanyika kufuatia aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Hafidhi Aly Twahir, kufariki dunia mwishoni mwa mwaka jana mjini Dodoma. Habari zaidi juu ya mkutano wa kampeni katika jimbo la Dimani, usikose kusoma MwanaHALISI Online – Mhariri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & Uchambuzi

Vijana wanavyoandaliwa kuziba pengo la ujuzi sekta ya madini

Spread the loveMOJAWAPO ya sekta ambazo katika miaka ya 2000 hazikuwa na...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lowassa: Mwanasiasa aliyetikisa CCM, Chadema

Spread the loveWAZIRI Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Edward Lowassa (70) amefariki Dunia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

Spread the loveKWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

Spread the loveRAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote...

error: Content is protected !!