Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo KMC yaanza kwa kishindo ligi kuu, Kagera yapigwa
Michezo

KMC yaanza kwa kishindo ligi kuu, Kagera yapigwa

Spread the love

TIMU ya KMC FC ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeanza kwa kushindo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2020/21 kwa kuifunga Mbeya City 4-0. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Mchezo huo umechezwa leo Jumatatu tarehe 7 Septemba 2020 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Ushindi huo wa KMC ni mkubwa katika mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo ilianza jana Jumapili kwa michezo saba kati ya tisa.

Katika mchezo mwingine kati ya Kagera Sugar dhidi ya JKT Tanzania katika Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera ulimalizika kwa wenyeji kulala kwa bao moja lililofungwa dakika ya 16 na Adam Adam.

Saa 1:00 usiku wa leo, Azam itacheza na Polisi Tanzania katika Uwanja wa Azam Complex Chamanzi jijini Dar es Salaam kukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Leo ni leo nani kutinga nusu fainali UEFA?

Spread the love HATIMAYE Jumanne ya UEFA imefika ambapo leo hii michezo...

Michezo

Anza Jumatatu yako na Meridianbet

Spread the love  IKIWA ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

Michezo

TFF, Amrouche ngoma nzito

Spread the loveVIPENGELE vya mkataba wa kazi aliotia saini Kocha Mkuu wa...

error: Content is protected !!