Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Michezo KMC, Alliance wazibwaga Simba, Yanga tuzo Ligi Kuu
Michezo

KMC, Alliance wazibwaga Simba, Yanga tuzo Ligi Kuu

Spread the love

MSHAMBULIAJI Dickson Ambundo wa klabu ya Alliance Accademy na Kocha Mkuu wa KMC, Etiene Ndayiragije wameibuka vinara kwenye tuzo za mwezi Januari zinazotolewa na Bodi ya Ligi baada ya kufanya vizuri kwenye michezo yao. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea)

Ambundo ameibuka kinara kwenye tuzo hiyo baada ya kuwashinda mlinda mlango wa KMC, Juma Kaseja na mshambuliaji wa Coastal Union, Ayoub Lyanga huku kocha Etiene alifanikiwa kuwapiku makocha Malale Hamsini ambaye anakinoa kikosi cha Alliance na Amri Said wa Biashara United.

Ndayiragije amefanikiwa kuiongoza KMC katika michezo 24 ya Ligi Kuu Tanzania Bara toka ilipopanda daraja na kufanikiwa kujikusanyia alama 35 na kushika nafasi ya tano kwenye msimamo.

Washindi wa tuzo hiyo katika msimu huu wa 2018/19 watajinyakulia kitita cha Sh. 1 milioni kutoka kwa mdhamini mkuu Biko Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

EPL, Ligue 1 na Coppa Italia kinawaka leo

Spread the love  LEO ligi kadhaa zitaendelea nchini barani ulaya ikiwemo ligi...

BiasharaMichezo

NBC yaunga mkono jitihada kutokomeza malaria

Spread the loveKuelekea Maadhimisho ya siku ya malaria Duniani yatakayofanyika kesho Aprili...

Michezo

Arsenal dhidi ya Chelsea ngoma nzito leo EPL

Spread the love  Leo kutakua na mchezo mkali sana pale kwenye ligi...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC yanogesha Derby Kariakoo, Aziz Ki aibuka mchezaji bora Machi

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambayo ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!