Thursday , 25 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba
Kimataifa

Kimbunga chamia Marekani, chaua watu saba

Spread the love

WATU saba wamefariki nchini Marekani na wengine zaidi ya 1000 hawana makaazi ya kuishi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha katikati ya mji wa Texas nchini Marekani ambazo zimeambatana na kimbunga kiitwacho Hurricane Hurvey, anaandika Irene David.

Kimbunga hicho kimekumba jimbo la Houston nchini humo ambacho kimesababisha uhabifu huo. Rais wa Marekani, Donald Trump, leo anatarajiwa kutembelea maeneo hayo yaliyoathiriwa na mafuriko.

Shughuli za uokoaji mpaka sasa bado zinaendelea japo bado hali si shwari kutokana na mafuriko hayo kuendelea kuwa mengi kutokana na kimbunga hicho cha Hurvey.

Jambo hili litakuwa ni janga la kiasili kutokea kwa mara ya kwanza Trump aingie madarakani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

error: Content is protected !!