Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kesho Arusha, Kilimanjaro kuanza rasmi BVR
Habari za Siasa

Kesho Arusha, Kilimanjaro kuanza rasmi BVR

Spread the love

UBORESHAJI wa Daftari la Wapiga Kura kwa njia ya Kielektroniki (BVR), katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha unatarajia kuanza rasmi tarehe 18 Julai 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Hayo amesema Dk. Athumani Kihamia, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) tarehe 15 Julai 2019 wakati alipohudhuria katika mafunzo ya waandikishaji wasaidizi wa zoezi hilo, jijini Arusha.

Dk. Kihamia amesema zoezi hilo katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha litafanyika kwa muda wa siku saba, na kutoa wito kwa wananchi wa mikoa hiyo kujitokeza kujiandikisha kwa kuwa siku hizo zikimalizika, NEC haitaongeza muda wa ziada.

Dk. Kihamia amesema baada ya zoezi hilo kukamilika katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha, litahamia katika mikoa mingine, na kwamba NEC itaendelea kutoa taarifa na ratiba ya uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa njia ya Kielektroniki (BVR).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!