Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kauli ya matumaini usajili laini za simu
Habari Mchanganyiko

Kauli ya matumaini usajili laini za simu

Spread the love

WANANCHI ambao hawajasajili laini zao za simu, lakini tayari wamefanya baadhi ya taratibu, busara itatumika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kogoma … (endelea).

Kauli hiyo imetolewa na Atashasta Nditiye, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano mkoani Kigoma.

Amesema, wananchi ambao taarifa zao zipo kwenye Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na hawajapata vitambulisho au namba kwa sababu mbalimbali, serikali itaona namna ya kufanya kuhakikisha wanaendelea kupata huduma “lakini wale ambao hawajajaza fomu kusajili, laini zao zitazimwa.”

Ameeleza kuwa, zoezi la usajili wa laini halitaisha tarehe 20 Januari 2020 kama ilivyotangazwa, na kwamba zoezi hilo ni endelevu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!