Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kambi ya Lipumba yapata ajali, wanne wafariki
Habari za SiasaTangulizi

Kambi ya Lipumba yapata ajali, wanne wafariki

Spread the love

WAFUASI wanne wa Chama cha Wananchi wamefariki katika ajali iliyotokea leo alfajili waliokuwa wakitoka kwenye sherehe za kuapishwa kwa wabunge wanane wa CUF, anaandika Faki Sosi.

Wafuasi hao wanaodaiwa kutoka Tanga walikuwa wakisafiri kutoka Dodoma kurudi Tanga ambapo walikumbwa ajali hiyo iliyojeruhi sita.

Ajari hiyo imetokea Mwidu karibu na Ubena mkoani Morogoro.

MwanaHALISI Online itakuletea taarifa kamili muda mfupi ujao.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!