Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20
Habari za Siasa

Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20

Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

KAMATI za Bunge la Jamhuri zitaanza kuketi leo tarehe 12 Machi 2019 kufanya kazi mbalimali ikiwa ni pamoja na kupitia matumizi ya Fedha za Bajeti kwa mwaka wa fedha 2018/19. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Bunge imeeleza kuwa, pamoja na mapitio ya bajeti inayokwenda ukingoni (2018/19) pia vikao hivyo vitapata fursa ya kupitia makadirio ya fedha za bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Pia kamati hizo zitafanya ziara kupita na kukagua miradi mbalimbali ili kuangalia uwekezaji na kujiridhisha thamani ya matumizi ya fedha za umma na matumizi yake.

Vikao vya kamati hizo vitachukua jumla ya siku 18 ambapo vitakoma tarehe 30 Machi 2019 kabla ya kuanza kwa Bunge la Bajeti 2019/20 tarehe 2 Aprili 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

CCM yakemea ufisadi, yaipa kibarua TAKUKURU

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekemea vitendo vya ubadhirifu wa...

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

error: Content is protected !!