Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko JWTZ yaunda kikosi maalum kusaka silaha
Habari Mchanganyiko

JWTZ yaunda kikosi maalum kusaka silaha

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi
Spread the love

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk.Husein Mwinyi ameliambia Bunge kuwa kwa sasa kimeundwa kikosi kazi kwa ajili ya kusaka silaha za kivita ambazo zinatumiwa na watu wenye nia mbaya, anaandika Dany Tibason.

Dk.Mwinyi ametoa kauli hiyo jana bungeni alipokuwa akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Chambani,Yusufu Salim Husein(CUF).

Katika swali la nyongeza mbunge huyo alitaka kujua serikali inachukua hatua gani ili kuweza kuthibiti kuzagaa kwa siraha za kivita ambazo zinaonekana kutumika vibaya kwa kuwajeruhi watu mbalimbali.

“Tunajua kuwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ndilo lenye jukumu la mipaka ya nchi ya kimataifa, sina shaka na usalama wa Mipakana,lakini ndani ya nchi hakuko salama je kuna utaratibu gani ambao unatumika kwa kuzagaa kwa silaha za kivita ambazo zinatumiwa kuwadhuru watu”alihoji Hussein.

Awali katika swali la msingi la mbunge wa Mkoani, Twahir Awesu Mohamed(CUF) alitaka kujua serikali imejipanga vipi kuimarisha amani hapa nchini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!