Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko JPM atangaza siku 7 za maombolezo, bendera nusu mlingoti
Habari Mchanganyiko

JPM atangaza siku 7 za maombolezo, bendera nusu mlingoti

Marehemu Benjamin Mkapa
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametangaza siku saba za maombolezo kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa nchi hiyo, Benjamini William Mkapa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea)

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa imesema, maombolezo hayo yataanza leo Ijumaa tarehe 24 Julai 2020.

Rais Magufuli amesema, katika kipindi hicho cha siku saba, bendera zote zitapepea nusu mlingoti.

Rais mstaafu Mkapa aliyeongoza Taifa hilo lililopo Afrika Mashariki kati ya mwaka 1995 hadi 2005, amefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa hospitalini jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

error: Content is protected !!