Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM asaini sheria nne mpya
Habari za SiasaTangulizi

JPM asaini sheria nne mpya

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS John Magufuli amesaini sheria nne zilizopitishwa katika mkutano wa 16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 1 Oktoba 2019 na Ofisi ya Bunge kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Taarifa hiyo ya Bunge inaeleza kuwa, sheria hizo zimetangazwa katika Gazeti la Serikali, na zinapatikana katika tovuti rasmi ya mhimili huo.

Sheria zilizosainiwa ni, Sheria ya Serikali Mtandao Na. 10 ya mwaka 2019, Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 4) Sheria Namba 11 ya mwaka 2019.

Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mablimbali (Na. 5) Sheria Na. 12 ya mwaka 2019 na Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 6) Sheria Na. 13 ya mwaka 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!