Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM amteua waziri wa Kikwete
Habari za SiasaTangulizi

JPM amteua waziri wa Kikwete

Gregory Teu
Spread the love

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania amemteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Serikali ya Awamu ya Nne ya Jakaya Kikwete, Gregory Teu kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Kilimanjaro Airport (KADCO), anaandika Faki Sosi.

Taarifa ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliono, Leornard Chamuriho imeeleza kuwa awali Rais Magufuli ametengua uteuzi kwa Balozi Hassan Gumbo Kibelloh kwenye nafasi hiyo na kumchagua Teu kuziba pengo la nafasi hiyo.

Wakati huo huo, Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametengua uteuzi wa Mjumbe wa bodi hiyo bwana Suleiman Suleiman kuanzia tarehe 16 Oktoba.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!