Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Jengo Old Tanga Sekondari lateketea
Habari Mchanganyiko

Jengo Old Tanga Sekondari lateketea

Spread the love

JENGO moja la Shule ya Sekondari ya Old Tanga, iliyoko jijini Tanga limeteketea kwa moto mchana wa leo tarehe 18 Septemba 2019. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Tukio hilo limethibitishwa na Edward Bukombe, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Tanga, aliyesema kwamba moto huo ulizuka majira ya saa 6.00 mchana.

Kamanda Bukombe amesema, hadi sasa chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Hata hivyo, amesema moto huo haujaleta madhara.

“Kuna jengo moja ambalo ni ukumbi, ni jengo la zamani tangu enzi ya mkoloni limeungua lote kwa moto. Bado hatujajua chanzo chake. Lakini haujaleta madhara yoyote kwa binadamu,” amesema Kamanda Bukombe.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

error: Content is protected !!