Thursday , 18 April 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Jammeh apagawa, atimua mawaziri
Kimataifa

Jammeh apagawa, atimua mawaziri

Rais Yahya Jammeh anayeikalia Gambia kwa mabavu
Spread the love

WAKATI muda wa Yahya jammeh rais ‘king’ang’anizi’ wa Gambia ukiwa umeisha na hatua za kumuondoa kwa nguvu zikisubiriwa kuanza, kiongozi huyo amevunja rasmi Baraza la Mawaziri, anaandika Wolfram Mwalongo.

Shirika la habari la Uingereza (BBC) limeripoti kwamba kujiuzulu kwa mawaziri saba, pamoja na Isatou Njie aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jammeh kumemfanya Jammeh kuvunja baraza lake.

Idadi ya watendaji wanaojiweka kando na rais huyo imemuongezea hofu zaidi wakati vyombo vya usalama vikigawanyika pande mbili -wanaomuunga mkono Rais Jammeh dhidi ya wanaoafiki utawala mpya wa Rais Adama Barrow aliyeapishwa akiwa uhamishoni nchini Senegal.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Kimataifa

Majaji kuamua hatima ya Zuma leo

Spread the loveMajaji nchini Afrika Kusini leo Jumanne wataamua ikiwa rais wa...

Habari za SiasaKimataifa

Spika Afrika Kusini ajiuzulu kwa tuhuma za rushwa

Spread the loveSpika wa Bunge la Afrika Kusini, Nosiviwe Mapisa-Nqakula ametangaza kujiuzulu...

Habari MchanganyikoKimataifa

Tetemeko la ardhi laua 7, lajeruhi 800 Taiwan

Spread the loveWatu wapatao saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 800...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Faye amteua aliyekuwa mfungwa mwenzie kuwa waziri mkuu

Spread the loveRais mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteua Ousmane Sonko...

error: Content is protected !!