Thursday , 28 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Jaji Mkuu akamatwa kwa ufisadi
Kimataifa

Jaji Mkuu akamatwa kwa ufisadi

Philomena Mwilu, Naibu Jaji Mkuu wa Kenya
Spread the love

PHILOMENA Mwilu, Naibu Jaji Mkuu wa Kenya amekamatwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Taarifa hizo zimethibitishwa na Noordin Haji, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Kenya wakati akizungumza na wanahabari leo tarehe 28 Agosti, 2018 ambapo amedai kuwa, kuna ushahidi wa kutosha unaomtia hatiani Jaji Mwilu.

Haji amesema Jaji Mwilu amefunguliwa mashtaka ya uhalifu katika mahakama kuu iliyoko mjini Nairobi nchini Kenya.

Tukio hilo ni muendelezo wa serikali ya Kenya katika kutekeleza mkakati wake wa kupambana na vitendo vya ufisadi na rushwa kwa viongozi na watumishi wa umma nchini humo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!