Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Habari Kimataifa Iran yajibu mapigo ya Marekani
Kimataifa

Iran yajibu mapigo ya Marekani

Donald Trump
Spread the love

NCHI ya Irani imejibu tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kumuonya kwamba atapoteza kila anachomiliki iwapo ataruhusu nchi yake kulishambulia Taifa hilo. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Mnamo terehe 23 Julai, 2018 kupitia akaunti yake ya Twitter, Rais Trump aliitaka Iran kutotishia taifa lake na kwamba ikifanya hivyo ataiangamiza kupitia vita.

Kamanda wa Kikosi Maalumu cha Iran, Meja Jenerali Qassem Soleiman amesema iwapo Trump ataanzisha vita dhidi ya nchi yake, vita hiyo itaharibu kila anachokimiliki.

Jenerali amemuonya Trump kwamba Jeshi la Iran lina nguvu na uwezo, pia liko tayari kumfikia popote alipo, huku akiapa kuwa iwapo Rais huyo wa marekani ataanzisha vita wako tayari kuimaliza.

Chanzo: BBC Swahili.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaKimataifa

Mwanaye rais jela miaka miaka 6 kwa dawa za kulevya

Spread the loveMwanawe rais wa zamani wa Guinea-Bissau amehukumiwa kifungo cha miaka...

Habari za SiasaKimataifa

Faye aahidi kuongoza kwa unyenyekevu, wagombea wenzie wakubali yaishe

Spread the loveMgombea wa upinzani Senegal, Bassirou Diomaye Faye anajiandaa kuwa rais...

Habari MchanganyikoKimataifa

Wanafunzi 130 waliokuwa wametekwa nyara waokolewa

Spread the loveZaidi ya wanafunzi 130 wa shule ya msingi LEA na...

Habari MchanganyikoKimataifa

Mgombea upinzani aongoza uchaguzi wa Rais Senegal

Spread the loveMgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye ameonekana kuongoza...

error: Content is protected !!